Monday, November 12, 2012

JOEL OSTTEEN

Watu wengi sana,wana angalia udhaifu wao,na hawa angalia uwezo wao au usahihi wao,mtu ukiangalia udhaifu wako hauta yafurahia maisha,tunapaswa kuyafirahia maisha.
Angalia uwezo ulionao,jipange na utumie uwezo wako,muda mwingi fanya vitu vinavyoendana na uwezo wako

0 maoni:

Post a Comment